Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, May 16, 2017

Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Mti Wapiga Kelele Ukipinga Kung’olewa Mwanza

AMA kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakazi na watumiaji wa barabara ya Pasiansi Jijini Mwanza, jana jioni walipigwa butwaa baada ya kushuhudia kimbwanga ajabu cha mti kutoa sauti kama binadamu ukipinga using’olewe.

Tukio hilo limetafsiriwa kuwa la kishirikina ama mazingaombwe ikizingatiwa kwamba si jambo lenye uhalisia mti kuongea kama binadamu.

Katika eneo la Pasiansi Jijini Mwanza mradi wa upanuzi wa barabara inayoelekea katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza unaendelea.

Shughuli ya kuung’oa mti huo aina ya mwembe bado inaendelea leo ambapo mamia ya wananchi wamejitokeza kushuhudia tukio hilo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment