Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, May 12, 2017

Magonjwa yanayotibika kwa Mmea Mnyonyo


Magonjwa yanayotibika kwa mmea mnyonyo
  • mnyonyo una faida nyingi
  • sana  kwa afya ya mwanadamu.
  • Karibu kila kitu  kinachopatikana
  • kwenye mmea wa  mnyonyo  kina
  • faida za kiafya kwa mwanadamu.


Magonjwa yanayotibikwa kwa mnyonyo.

  1. Kwikwi :Jaza maji kwenye kikombe, mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe.
  2. Kuungua :Meza punje za mti wa
  3. nyonyo kwa maji kiasicha glasi moja kwa siku kwa muda wa siku
  4. tano.
  5. Kutibu miguu inayouma.
  6. Tumia majani kwa kufungia miguu inayouma.
  7. Maumivu Ya Mgongo.
  8. Majani yake ukiyapasha moto yafaa kukanda mgongo wenye
  9. maumivu.
  10. Kutibu Kaswende na Kisonono.


Unachotakiwa kufanya;
Ponda mizizi ya mti wa mnyonyo, kisha  chemsha na tumia kunywa glasi moja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.

Kusafisha utumbo: Kunywa mafuta ya mnyonyo vijiko viwili vikubwa vya chakula asubuhi, kisha pumzika kwa saa mbili ndipo unywe maji glasi mbili na endelea kunywa maji glasi moja kila baada ya saa moja.

Mnyonyo unaweza pia kuwafaa watu wanaoishi na VVU (Virusi Vya UKIMWI) kwani mafuta yake ni sumu ya kuua vimelea vya magonjwa kama vile bakteria na ukungu (fungus).

Namna ya kufanya:
1. Kupakaza: Chukua kipande cha nguo ama kitambaa, kisha kiloweke kwenye mafuta ya mnyonyo ndipo ufunge katika kiwiko ama eneo lenye maumivu ama kidonda. Vinginevyo, chukua kiasi cha mafuta na kupaka eneo linalohusika mfano, penye kidonda, kuugua ama pakaza kichwani au juu ya tumbo wakati wa maumivu ya hedhi nk. Unaweza kuacha kwa muda wa saa moja kabla ya kunawa ili uipe ngozi muda wa kunyonya kiasi cha mafuta. Unaweza kujifunga kitambaa hicho tumboni ama mgongoni kama kibwebwe na kuendelea na shughuli za kawaida.

2. Kunywa: Chemsha mbegu chache za mnyonyo pamoja na maji na maziwa kisha unywe kiasi kidogo kadiri ya nusu hadi bilauri moja ya ujazo wa mili lita mia mbili na arobaini.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment