Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, December 20, 2016

Mauaji ya balozi wa Urusi nchini Uturuki yahusishwa na ugaidi

Mshambulizi akipaza sauti na kuzungumzia Aleppo.

Image captionMshambulizi akipaza sauti na kuzungumzia Aleppo.
Urusi imeyahusisha mauaji ya Balozi Andrey Karlov na tukio la kigaidi.
Balozi huyo alipigwa risasi na mshambuliaji aliyekuwa akipaza sauti akitaja Aleppo
Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni mjini Moscow amesema Uturuki wamehakikishiwa kwamba kutakuwa na uchunguzi wa kina kuhusiana na tukio hilo na wote watakaokuwa wamehusika wataadhibiwa. 
Meya wa Ankara amesema mauwaji hayo yamelenga huharibu mahusiano ya nchi hiyo na Urusi. Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani John Kerry amesema Marekani iko tayari kusaidia katika uchunguzi wa tukio hilo.
Chanzo: BBC Swahili
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment