Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, March 22, 2016

Trump aahidi kuvunja mkataba wa nyuklia

Trump ndiye anayeongoza miongoni mwa wagombea wa Republican Mgombea Urais katika chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump, amesema kuwa akichaguliwa kuwa Rais hatua ya kwanza atakayochukua juu ya masuala ya kigeni ni kuvunjilia mbali mkataba wa nyuklia. Mkataba huo ambao Trump anauzungumzia na kukerwa nao ni ule wa Marekani na Iran. Ushindi wa Trump ni hatari kwa dunia Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia Bw Trump, ambaye kwa sasa yuko mstari wa mbele katika kinyang'anyiro hicho katika chama chake aliliambia kundi lenye ushawishi mkubwa linalounga mkono Israel kuwa mapatano hayo ya Iran ni hatari kwa Marekani. Amesema pamoja na madhara kwa Marekani lakini pia unaweza kuihatarisha Israel na Mashariki ya Kati.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment