Writen by
sadataley
12:07 AM
-
0
Comments
Mbowe-Tumekubaliana na Katibu Mkuu apumzike kwa muda, kwamba sis tuendelee na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari.
Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.
Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.
Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.
Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.
Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko.
Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho.
Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi.
Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua.
Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.
CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.
Chanzo:frankleonald info
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments
Post a Comment