Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, August 4, 2015

Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameomba utulivu baada ya wapiganaji waliovalia magwanda ya kijeshi kumuua mmoja ya majenerali walio na ushawishi mkubwa serikalini. Katika hotuba kwa taifa muda mchache tu baada ya shambulio hilo,Nkurunziza aliomba utulivu akisema kuwa kisasi kitamaliza kizazi chote. Hizi ni baadhi ya nukuu za hotuba hiyo. ''Burundi imempoteza mtumishi mkubwa ,jenerali Adolphe Nshimirimana alikuwa alifanya kazi kwa bidii.Natoa wito kwa idara ya usalama kuanzisha uchunguzi ndani ya wiki moja ili wahalifu watambuliwe na kushtakiwa.Nawataka raia wote wa Burundi kuwa watulivu na kuungana.'' Chanzo:BBC Swahili
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment