Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 18, 2018

Ndege yaanguka Iran ikiwa na wasafiri 66

Ndege ya abiria imeanguka leo asubuhi nchini Iran ikiwa na watu 66 wakiwemo wasafiri na wahudumu
Ndege hiyo ya Shirika la Aseman ilitoweka katika rada leo saa mbli asubuhi ikiwa inasafiri kutoka Uwanja wa Ndege wa Mehrabad mjini Tehran kuelekea mji wa Yasuj ambao ni mji mkuu wa mkoa  wa Kohgiluyeh na Boyer-Ahmad kusini magharibi mwa Iran.
Ndege hiyo aina ya ATR 72 ilitoweka kwenye rada  dakika 20 hivi baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Tehran. Ndege hiyo imeanguka katika eneo la Semirom katika mkoa wa Isfahan kati mwa Iran na shughuli za uokoaji zinaendelea. Maelezo zaidi yatakujieni baadaye.
PARSTODAY
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment