Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, March 27, 2016

Sanders apania kupunguza uongozi wa Clinton US

Bernie Sanders apania kupunguza uongozi wa Clinton Mbombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Democrat Bernie Sanders atajaribu kupunguza uongozi wa Hillary Clinton katika kinyang'anyiro cha uteuzi wa mgombea wa chama cha Democrat siku ya Jumamosi katika kura za Hawaii na Alaska katika jimbo la Washington. Bwana Sanders bado hajakata tamaa lakini Hillary tayari amejishindia wajumbe 1691 kati ya wajumbe 2,383 wanaohitajika kushinda. Bado anaendelea kuvutia makumi ya maelfu katika mikutano yake ya kampeni huku akiitisha mageuzi ya kisiasa . Bi Clinton amesema kuwa ana kura milioni 2.6 zaidi ya Sanders.Kura ya Jumamosi ni ya wagombea wa chama cha Demokrat pekee . Bwana Sanders ametumia wiki yote akiwa magharibi mwa pwani akitafuta uungwaji mkono miongoni wale wanaounga mkono mabadiliko na wale wa mrengo wa kushoto.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment