Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, March 31, 2016

Hotuba ya Rais Kenyatta yavurugwa

Hotuba ya taifa ya rais wa kenya Uhuru Kenyatta, imetatizwa kwa muda bungeni baada ya wabuge kadha wa upinzani kupuliza firimbi. Wabunge hao walianza kupuliza firimbi na kuvuruga hotuba ya rais punde tu alipoanza kuitoa. Mmoja wa wabunge akizindikizwa nje Ilimbidi spika wa bunge kuwasihi wabunge ambao walionekana kuendelea kupuliza firimbi. Hata hivyo utulivu ulirejea baada ya spika kuwatupa nje wabunge waliokua wakizipuliza hizo firimbi, na rais akaendelea kutoa hotuba yake kwa taifa.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment