Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 18, 2018

Pacha wa Ronaldo akimbizwa Hospitali


Cristiano Ronaldo amekuwa katika kipindi kifupi cha hofu baada ya mmoja wa watoto wake mapacha kukimbizwa hospitali.

Mateo mwenye umri wa miezi nane alipelekwa hospitali na kuwekwa katika uangalizi maalum kutokana na kuugua ghafla.

Lakini taarifa za baadaye zikaeleza kwamba Mateo alikuwa akiendelea vizuri na Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wakawa tena na amani.


Mshambuliaji huyo nyota wa Madrid, amekuwa akitumia muda wake mwingi kucheza na waoto wake hao.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment