Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 18, 2018

Aliyemtunuku Grace Mugabe shahada ya uzamifu akamatwa Zimbabwe

Bi Grace Mugabe

Haki miliki ya pichaEPA
Image captionBi Grace Mugabe
Naibu chansela wa chuo kikuu cha Zimbabwe amekamatwa kuhusiana na utoaji wa wa cheti cha shahada ya uzamifu kwa mke wa rais wa zamani nchini humo Robert Mugabe.
Grace Mugabe alitunukwa cheti hicho baada ya kusoma kwa miezi michache na hoja yake ikachapishwa mwezi uliopita baada ya kuzuka kwa wito wa kupokonywa shahada hiyo
Tume ya uchaguzi inatarajiwa kumshtaki naibu huyo Levi Nyagura kwa utumizi mbaya wa ofisi.
Kile ambacho hakiko wazi ni iwapo bi Mugabe atakamatwa.
Badala ya kusoma miaka kadhaa alipokea shahada yake miezi kadhaa baada ya kusajiliwa katika chuo hicho.
Alikuwa akijaribu kuwa rais wa taifa hilo lakini baada ya jeshi kumuondoa madarakani Robert Mugabe mwezi Novemba harakati zake za kisiasa ziligonga mwamba hatua iliowafurahisha raia wengi wa Zimbabwe.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment