Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 18, 2018

Ajali ya ndege yauwa Watu 66

Picha ya mtandao

Watu 66 wamefariki papo hapo kwenye ajali mbaya ya Ndege iliyotokea leo asubuhi huko nchini Iran baada ya kuanguka mlimani.

Ndege hiyo yenye namba ATR-72 iliyokuwa ikisafiri kutoka Tehran kwenda jijini Yasuj imedondoka katika milima ya Semirom iliyopo kusini mwa Iran.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka shirika la habari la AP, Watu wote waliokuwemo kwenye ndege hiyo wamefariki huku chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
Muungwana Blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment