Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, July 28, 2017

NEC Yateua wabunge 8 wa viti maalum kupitia Chama cha Wananchi Cuf

Tume ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa wabunge nane wa viti Maalum kupitia (CUF) baada ya Tume hiyo kupokea barua kutoka kwa spika wa Bunge Ndugai ambaye alisema kuna nafasi za wazi nane katika bunge hilo kufuatia wabunge hao kuvuliwa uanachama.



« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment