Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 29, 2017

Kafulila apewa Tuzu


Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusi David Kafuli amepewa Tuzo ya Heshima  Mpiga Filimbi katika vita vya Ufisadi.

Tuzo hiyo amepewa baada ya kuibua hoja zilifichua Ufisadi na Mafisadi waliokula pesa na kubadhilisha Maslahi ya Umma.

Ujasiri wa Kafulila kuibua masuala hayo ndio ulimuibua kwenye Tuzo hiyo aliyopewa na Watetezi wa Haki za Binaadamu .

 Tazama hapa Full Video.

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment