Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, May 16, 2017

Nomaa!! Bi Zuena ameichambua Simba Sc yote ya tangu 1972- 2017

Baada ya kuwepo msuguano ndani klabu ya Simba Kuhusu mkataba wa SportsPesa na kupelekea baadhi ya Viongozi akiwemo Hans Pope kutishia kujiuzulu, Basi Muungwana Blog imeafanya Exclussive Interview na Shabiki mkereketwa wa Simba Sc wa Tangu 1972 Bi Zuena Matimbwa, ambapo ameichambua klabu hiyo na kumaliza "Natamani Viongozi wote waliopo kwasasa Waondoke, wamefuata pesa na sio mpira"
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment