Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, April 2, 2016

Wabunge 9 wa chama tawala Gabon wajiuzulu

Rais Ali Bongo wa Gabon Wabunge tisa wa chama tawala nchini Gabon wamejiuzulu kulingana na ripoti za shirika la habari la AFP. Hatua hiyo inaongeza uvumi kwamba huenda chama kipya kikabuniwa kumkabili raisi Ali Bongo katika uchaguzi mnamo mwezi Agosti. Kiongozi wa bunge Guy Nzouba Ndama ambaye aliongoza bunge hilo tangu 1997 alitangaza kujiuzulu kwake siku ya Alhamisi.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment