Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, April 11, 2016

Ukame walazimu treni ipeleke maji kilomita 300

Gari la moshi la dharura lililobeba lita nusu milioni ya maji inatarajiwa kuwasili Magharibi mwa India kukata kiu ya wenyeji wa eneo hilo lililokumbwa na ukame. Gari la moshi hilo linaloitwa ''Treni ya maji'' linavuta mabehewa 10 makubwa yaliyojaa maji. Mabwawa ya maji yaliyokuwa yanategemewa kwa uhifadhi wa maji yamekauka baada ya ukosefu wa mvua Hilo ndilo treni la kwanza kati ya mia zilizopangwa kupeleka maji Magharibi mwa India. Mabehewa 100 ya maji yatasafirishwa umbali wa kilomita 300 hadi Latur katika jimbo la Maharashtra Kusini. Jimbo hilo linakumbwa na ukame mbaya sana katika kipindi cha karne moja iliyopita. Mabehewa 100 ya maji yatasafirishwa umbali wa kilomita 300 hadi Latur katika jimbo la Maharashtra Kusini. Mabwawa ya maji yaliyokuwa yanategemewa kwa uhifadhi wa maji yamekauka baada ya ukosefu wa mvua kwa kipindi kirefu. Ukame huo umesababisha hata hospitali katika eneo hilo la Kusini kuahirisha operesheni ya wagonjwa kwa sababu ya uhaba wa maji.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment