Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, April 8, 2016

Ruto: Waathiriwa wa ghasia lazima wapate haki

Naibu wa rais nchini Kenya William Ruto amevihutubia vyombo vya habari kwa mara ya kwanza tangu kesi iliokuwa ikimkabili kuhusiana na ghasia zilizotokea katika uchaguzi wa mwaka 2007 katika mahakama ya ICC ifutiliwe mbali. Ruto amesema kwamba serikali haitapumzika hadi waathiriwa wa gjhasia hizo ambapo takriban watu 1200 walifariki wapate haki yao. ''Sababu ambayo iliofanya kesi hiyo kuanguka ni kwamba hatukuwa na hatia''.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment