Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, April 10, 2016

Mkuu wa kanisa Anglikana agundua babaake sio Welby

Kiongozi wa kanisa Anglikana duniani Justin Welby Kiongozi mkuu wa Kanisa la Kianglikana duniani, ametangaza kuwa babaake mzazi ambaye alikuwa anamfahamu sio yeye. Askofu huyo wa Cantebury, Justin Welby, amesema alifahamu mwezi uliopita kuwa babake mzazi alikuwa balozi wa Uingereza Sir Anthony Montague Browne, ambaye alifariki miaka mitatu iliyopita na wakati mmoja alihudumu kama msaidizi wa Sir Winston Churchil. Askofu huyo alikuwa akidhani Gavin Welby ambaye alifariki mwaka wa sabini na saba alikwa babake. Justin Welby ametaja habari hizo kama za kushangaza na alifanya majaribio ya DNA baada ya kupata habari hizo kutoka kwa gazeti moja nchini Uingereza. Matokeo yake yalifananishwa na yale yaliyopatikana katika nywele za babake.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment