Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, September 15, 2015

Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi leo

Msimu wa michuano ya Ligi ya mabingwa Ulaya mwaka 2015-2016 kuanza leo Msimu mpya wa michuano ya Ligi ya mabingwa wa Ulaya kwa msimu wa 2015-2016 utaanza leo kwa nyasi za Viwanja vinane kuwaka moto. Katika kundi A, PSG itawaalika timu ya Malmo Ff kutoka Sweden huku Real Madrid, wakiwa wenyeji wa Shakhtar Donetsk, mchezo utakaopigwa kwenye Dimba la Santiago Bernabéu. Katika kundi B PSV Eindhoven, ya Uholanzi watakua wenyeji wa Manchester United, toka Uingereza huku mchezaji wa zamani kwa kikosi hicho Memphis Depay, akirejea kucheza na timu yake hiyo ya zamani. Mchezo wingine wa kundi hili VfL Wolfsburg, ya Ujerumani watashuka dimbani kuwakabili CSKA Moscow, kutoka Urusi. Michezo mingine itayopigwa leo hi ya michuano hii. Kundi C Galatasaray na Atletico Madrid Benfica na FC Astana KUNDI D Man City na Juventus Sevilla na Borussia Monchengladbach
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment