Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, August 13, 2015

Jimmy Carter asema ana kansa

Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter ametangaza kuwa ana maradhi ya kansa. Carter mwenye umri wa miaka tisini ,na siku za hivi karibuni alifanyiwa upasuaji wa ini. Jimmy amesema kuwa imebainika kuwa ana kansa ambayo imekwisha sambaa katika baadhi ya sehemu za mwili wake. Ameongeza kuwa yupo katika mpango wa kuweka vizuri ratiba yake kwa lengo la kupata matibabu zaidi. Jimmy Carter toka aondoke madarakani ,amekua akijisughulisha na kazi za kuhudumia jamii duniani kote. Chanzo:BBC Swahili
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment