Writen by
sadataley
2:02 PM
-
0
Comments
USA kuamua kuhusu ndoa za jinsia moja

Mahakama kuu nchini Marekani inatarajiwa kutoa uamuzi wa nchi nzima iwapo wapenzi wa jinsia moja wana haki ya kufunga ndoa.
Mahakama hiyo pia itaamua ikiwa majimbo yatatambua ndoa za jinsia moja kutoka sehemu nyengine nchini humo.
No comments
Post a Comment