Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, January 15, 2015

Udini,chuki marufuku,Ufaransa

   
Waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira
Serikali ya Ufaransa imesema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaobainika kujihusisha na masuala ya ugaidi na vitendo vya kueneza chuki kwa misingi ya tofauti za kidini na itikadi.
Waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira amesema kuwa maneno ya chuki,ama vitendo vyovyote vinavyohusiana na ubaguzi wa kidini ni lazima vipigwe vita.
Mamlaka za kisheria za Ufaransa zimearifu kuwa hadi sasa tayari kesi 54 zimekwisha funguliwa dhidi ya wanao toa maneno yanayoashiria ugaidi ikiwa ni wiki moja tangu kutokea shambulio la kigaidi la gazeti Charlie Hebdo.
Ripoti kuhusiana na wanaoshikiliwa na mkono wa sheria wa Ufaransa ,mchekeshaji Dieudonné,anakabiliwa na mashitaka kufuatia kubainika kuwaunga.
Chanzo: BBC
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment