Writen by
sadataley
7:51 AM
-
0
Comments
Udini,chuki marufuku,Ufaransa

Serikali ya Ufaransa imesema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaobainika kujihusisha na masuala ya ugaidi na vitendo vya kueneza chuki kwa misingi ya tofauti za kidini na itikadi.
Mamlaka za kisheria za Ufaransa zimearifu kuwa hadi sasa tayari kesi 54 zimekwisha funguliwa dhidi ya wanao toa maneno yanayoashiria ugaidi ikiwa ni wiki moja tangu kutokea shambulio la kigaidi la gazeti Charlie Hebdo.
Chanzo: BBC
No comments
Post a Comment