Writen by
sadataley
2:01 PM
-
0
Comments
Mechi za kombe la Afrika kuanza leo

Timu kutoka kote Afrika zimewasili nchini Equatorial Guinea wakati ambapo mechi za taifa bingwa barani zitarajiwa kung'oa nanga hii leo ikiwa ni miezi miwili tangu taifa hilo la afrika ya kati likubali kuandaa mechi hizo.
Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF hata hivyo lilikataa ombi hilo la Morocco
Mechi ya kwanza itakuwa kati ya wenyeji Equatorial Guinea na Congo.
Chanzo: BBC
No comments
Post a Comment