Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, December 1, 2014

Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC

   

Mahakama ya ICC inasikiliza rufaa iliyowasilishwa mahakamani na Lubanga akipinga hukumu dhidi yake
Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa mahakani katika kesi ya mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio.
Kiongozi huyo wa waasi ,Thomas Lubanga,amepinga hukumu dhidi yake baada ya kupatikana na hatia ya kuwatumia watoto kama wanajeshi ambapo alihukumiwa kifungo cha miaka 14 jela.
Viongozi wa mashitaka wanasema vijana wenye umri wa miaka 11 walitekwa nyara wakati wa vita vilivyokuwa vinaongozwa na Lubanga zaidi ya miaka kumi iliyopita Mashariki mwa Congo.
Watoto wa kike walitumiwa kama watumwa wa ngono. Hata hivyo wakosoaji wa mahakama hio wameituhumu kwa mwendo wake wa polepole kuhusiana na kesi hio.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment