Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, December 20, 2014

Obama:Filamu ya Kim Jong Un ionyeshwe

    
Rais Obama wa marekani ametaka filamu ya ucheshi ya rais wa Korea kazkazini kuonyeshwa
Rais wa marekani Barack Obama ameimbia Korea Kaskazini kuwa Marekani itajibu kisa ambapo wizi wa mtandao ulioendeshwa dhidi kampuni ya filamu ya Sony Pictures hali iliyosababisha kufutiliwa mbali kwa maonyesho ya filamu inayomdhihaki kiongozi wa korea kaskazini kim jong- un.
Lakini mwandishi wa BBC anasema kuwa hatua hiyo haitakuwa rahisi kwa Marekani kutokana na kujitenga kwa Korea kaskazini.
Filamu ya Kumdhihaki rais wa Korea kazkazini Kim Jong Un iliozuiliwa na kampuni ya Sony Pictures kufuatia vitisho
Rais Obama amesema kuwa kampnui ya filamu ya Sony Pictures ilifanya makosa kwa kusitisha kuonyesha filamu hiyo.
Hata hivyo Sony ilisema kuwa ilichukua uamuzi huo kwa kuwa kumbi nyingi kubwa za sinema nchini Marekani zilikataa kuonyesha filamu hiyo.
Sony imesema kuwa ina mipango wa kuionyesha filamu hiyo na kwa sasa inatafuta njia zingine za kuionyesha.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment