Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, December 20, 2014

KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA CHADEMA KILICHOKUTANA JB BELMONT JIJINI DAR

unnamed
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bw. Freeman Mbowe kulia akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr. Wilbroad Slaa katikati pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara John Mnyika wakati wa kikao cha Kamati kuu kilichokutana jana kwenye hoteli ya JB Belmonte jijini Dar es salaam na kujadili mambo mbalimbali kuhusu harakati za chama hicho.
unnamed1
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bw. Freeman Mbowe, Said Issa Mohamed Makamu Mwenyekiti Zanzibar na Profesa Abdallah Safari wakiwa katika mkutano huo.
unnamed3
Mmoja wa wajumbe akizungumza katika kikao hicho.
 
Chanzo: Mjengwa Blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment