Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 6, 2013

POPE FRANCIS: KUWA MKRISTO SI KUSUDI UFANYE VITU, BALI KUJIRUHUSU WEWE MWENYEWE KUFANYWA MPYA KWA NJIA YA ROHO MTAKATIFU

Papa amesema  katika maisha ya Kanisa kuna maeneo yanapaswa kufanywa upya. Hivyo Yesu alikuja kutufanya wapya na kwa njia hiyo alikuja kutuweka huru. Yesu  hajaleta sheria nyingine bali ameileta sheria mpya ambayo si sawa na sheria nyingine. Sheria nyingine inaruhusu kuwachukia wengine lakini Bwana wetu Yesu Kristo anatutaka tuwaombee. 

"He explained that what Jesus requires of us is greater than the requirements of the law. The law allows us to hate our enemy; Jesus, on the other hand, tells us to pray for him. This, then, is “the Kingdom of God that Jesus preaches”: a renewal above all “in our heart.” We think that “being Christian means doing this, or doing that; but it is not so".


Hayo yamesemwa na Papa Francis katika misa iliyofanyika katika Kanisa la Casa Santa Marta huko Italy.

Pichani Papa  Francis akiwa katika misa leo hii
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment