Writen by
sadataley
10:52 AM
-
0
Comments
Mshindi wa tatu kanisa la Kihesa wakipewa medali na askofu mstaafu Dkt Mdegella |
Mratibu wa mashindano hayo na katibu mkuu wa Dira wakifurahia ubingwa baada ya timu yao kutwaa kombe la Mdegela Cup |
Kepteni wa timu ya Dira Chesco akipokea kombe toka kwa askofu mstaafu Dkt Mdegela baada ya timu yake kuibuka bingwa mashindano ya Mdegela Cup huku mchezaji nguli Juli katikati akifurahia ,mchezaji huyo wa kike aliweza kuwa ngunzo katika mashindano hayo kwa kuvuta watazamaji wengi kutokana na kiwango chake cha soka uwanjani Habari kwa hisani ya Godwin Francis |
No comments
Post a Comment