Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, January 21, 2017

Adama Barrow: Nitarudi Gambia usalama ukiimarika

rais wa gambia ameseama kuwa atarudi Gambia usalama ukiimarika


Image captionrais wa gambia ameseama kuwa atarudi Gambia usalama ukiimarika

Rais wa Gambia Adama Barrow amesema kuwa atarudi nchini Gambia wakati ECOWAS itakapoona ni salama kwa yeye kurudi.
Amesema kuwa atalipa kipao mbele swala la uchumi na ataanzisha tume ya haki na maridhiano ili kuchunguza ukiukaji wa haki za kibinaadamu.
''Kutokana na ukweli tutaweza kuridhiana na kusonga mbele'',alisema.
Alizungumza na mwandishi wa BBC Clarisse kutoka Dakar 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment