Writen by
sadataley
10:56 AM
-
0
Comments
MTU mmoja amethibitika kupoteza maisha katika ajali ya basi la Vitu Laini lenye namba za usajili T910 linalofanya safari zake kati ya Lulanzi Kilolo na Iringa baada ya kuligonga lori lenye namba T724 AVV scania lililobeba Mbao
Ajali hiyo imetokea asubuhi hii eneo la Tagamenda Mjini Iringa wakati basi hilo likitoka Kilolo kuja mjini Iringa sanjari na mwelekeo wa Lori hilo
Chanzo kimeelezwa ni mwendo kasi wa basi hilo na kutokuwa makini katika kona
No comments
Post a Comment