Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, February 25, 2016

Ban Ki-moon kufanya mazungumzo Sudan Kusini

Katibu mkuu wa Umoja wa Afrika, Ban Ki-moon, anatazamiwa kufanya mazungumzo katika mji mkuu wa Sudan Kusini Juba, ili kuongeza nguvu muafaka wa amani utakaositisha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ya miaka miwili nchini humo. Msemaji wa Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini anasema kuwa visa vya uchomaji nyumba na wizi wa mabavu vinaendelea katika mji wa Malakal, kufuatia mapigano ya juma lililopita yaliyosababisha vifo vya watu 18. Serikali sasa imekubali kutumwa kwa majeshi yanayomtii naibu Rais Riek Machar kupiga doria katika mji mkuu Juba, juma lijalo. Ni mara ya kwanza kwa majeshi hayo kurejea katika mji huo, tangu mapigano yaanze miaka miwili iliyopita.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment