Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, January 31, 2014

TZ: Wabunge wajipa 'mkono wa kwaheri'

Kumekuwa na ghadhabu nchini Tanzania kufuatia uamuzi wa wabunge kujiongeza maelfu ya dola kama marupurupu.
Kikao cha bunge la TZ
Pesa hizo wanasema ni mkono wa kwaheri.
Marupurupu hayo yatatolewa kwa kila mbunge wa bunge la Tanzania lenye wabunge 357 wakati watakapokamilisha muhula wao wa tano kama wabunge.
Kila mbunge nchini Tanzania, hupokea mshahara wa dola elfu saba kila mwezi.
Wakazi wa mji mkuu Dar es Salaam waliambia BBC kuwa wameshtushwa sana na marupurupu hayo hasa baada ya kuambiwa na serikali kuwa hakuna pesa za kutosha kwa matumizi ya huduma za jamii.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment