Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, September 8, 2013

Watoto wa Somalia wahimizwa kwenda shule

Wakuu wa Somalia wameanzisha kampeni ya kuwapeleka shule watoto milioni moja.
Watoto wa Somalia
Kampeni hiyo iitwayo "nenda shule" imeanza mjini Mogadishu na katika miji ya Somaliland na Puntland, yaani Hargeisa na Garowe, kwa msaada wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, Unicef.
Baada ya vita vya miongo mwili, Unicef inasema asili-mia-40 tu ya watoto wanakwenda shule Somalia - kati ya viwango vya chini kabisa duniani.
Unicef inasema mradi huo utawapa robo ya watoto wasiokwenda shule fursa ya kusoma.
Mradi utagharimu dola 117 milioni.

Imewekwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment