Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, September 21, 2013

Risasi zafyatuliwa kati ya Nairobi

Ripoti kutoka Nairobi, Kenya, zasema kwamba watu waliokuwa na silaha wamefyatua risasi katika eneo la biashara katikati ya mji mkuu huo.
Inaarifiwa kuwa polisi waliobeba silaha wako katika eneo hilo.
Shirika la habari la Reuters linaarifu kuwa mpiga picha mmoja aliona watu wamelala chini tuli, hawatikisiki.
Hadi sasa hakuna taarifa rasmi kama kuna watu waliokufa.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment