Writen by
sadataley
3:11 AM
-
0
Comments
WAKATI WA CHAKULA CHA MCHANA HUWEZI AMINI KUWA NI MAZINGIRA HAYAHAYA YA CHUO CHA MAKUMIRA ANGALIA VIZURI
Mwandishi wa Kanisa akiwa na makatibu Wakuu wa Dayosisi za Iringa na Mashariki na Pwani
Wakuu wa Majimbo toka Dayosisi ya Iringa Mchg. Donald Kiwanga na Mchg. Himid Sagga
wakiwa na Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Dodoma
Wageni wakizungumza wakatika wa chakula
Baadhi ya Wageni toka mataifa mbalimbali
Mkuu KKKT akioneshwa picha waliyopiga pamoja na wageni toka Ulaya
Maaskofu wakijumuika kupata chakula
Askofu Gulle akiwa na wageni pia
Askofu Dr. O.M Mdegella toka Dayosisi ya Iringa akiwa na Maaskofu toka Sweden
Viongozi waandamizi wa Kanisa la Berlin na Lepzing Ujerumani
Askofu Yesaya Mengele akiwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la Sweden Mchg Stepahne Homstrom
Mama Askofu Mdegella akiwa na Mchungaji toka Chicago Marekani
Katibu Mkuu KKKT akiwa na Askofu wa Kusni Mashariki Askofu Mbedule mwenye miwani
na Askofu Kinyunyu wa Dodoma
No comments
Post a Comment