Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, February 14, 2020

Samatta dimbani jumapili hii



Kivumbi cha Ligi Kuu ya England kinaendelea leo kwa mchezo mmoja kuchezwa, ambapo Wolves watakuwa nyumbani kuwakaribisha Leicester City.

Kocha wa Leicester, -Brendan Rodgers anasema kiungo mkabaji wake Wilfred Ndidi hana uhakika kama atakuwa sehemu ya kikosi chake kutokana na upasuaji wa goti aliofanyiwa katika siku za hivi karibuni huku Ryan Bennett akikosekana kutokana na vipengele vya mkataba wake wa mkopo akitokea Wolves.

Kwa upande wa Wolves, wanaimani mshambuliaji wao mweye nguvu nyingi Adama Traore atakuwa sehemu ya kikosi cha usiku wa leo licha ya maumivu ya bega aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Manchester United, lakini watamkosa Ruben Vinagre anayesumbuliwa na tatizo la misuli.

Muungwana Blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment