Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, February 25, 2018

Marekani imepanga kuhamisha ubalozi wake Jerusalem mwezi Mei

Marekani inatarajia kuuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv mpaka Jerusalem ifikapo Mei 14.

Mnamo Mei 1948 taifa la Israel lilitengenezwa na litakambuliwa na Washington tarehe kama hiyo.

Msemaji wa Marekani Heather Nauert amesema kuwa Marekani itauhamisha ubalozi wake Jerusalem katika siku ya kuadhmisha miaka 70 ya taifa la Israel.

Ubalozi wa sasa wa Marekani ulio Tel Aviv hautafungwa bali utaendelea kutumika kama tawi la ubalozi utakaofunguliwa Jerusalem.

Uamuzi wa Marekani kuutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel umepingwa na mataifa mengi ulimwenguni.

Licha ya hivyo Marekani imeonyesha kutojali.

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment