Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, February 3, 2017

Trump abadili msimamo kuhusu makaazi ya Israel



Makaazi mapya ya Israel yanayojengwa katika Ardhi ya Palestina
Image captionMakaazi mapya ya Israel yanayojengwa katika Ardhi ya Palestina
Ikulu ya White house nchini Marekani inasema kuwa utawala wa Donald Trump haujachukua msimamo rasmi kuhusu ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina, lakini upanuzi zaidi wa makaazi hayo huenda ukaathiri mazungumzo ya amani katika eneo hilo.
Taarifa hiyo inajiri saa kadhaa baada ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuahidi kuanzisha ujenzi wa makaazi mapya ya serikali baada ya kituo cha kijeshi cha Amona kuharibiwa.
Rais wa Marekani Donald Trump
Image captionRais wa Marekani Donald Trump
Tangu kuapishwa kwa rais Donald Trump ambaye ameonekana kupendezwa na ujenzi wa makaazi hayo, Israel imetangaza mipango yake ya kujenga makaazi mapya 6000.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment