Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, February 3, 2017

Ishu ya Madawa: Wasanii Waitikia wito wa Makonda Kufika Polisi

WASANII wa Bongo wameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda wa kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam mapema leo asubuhi.

RC Makonda jana aliwataja wasanii 9 wanaotuhumiwa kujihusisha na mtandao wa madawa ya kulevya pamoja na baadhi ya askari polisi huku akiwataka wafike kwenye Kituo Kikuu cha Polisi leo asubuhi kwa ajili ya mahojiano.

Mwingine ambaye mpaka sasa ameshawasili ni Mmiliki wa Klabu ya Usiku ya Element aliyewasili majira ya saa 5.00 akiambatana na mawakili wake wawili.

 T.I.D naye akiwasili kituoni hapo saa 5:07 asubuhi.
 Hamidu Chambuso aka ‘Nyandu Toz’ akiwasili kituoni majira ya saa 5: 38.

 Babuu wa Kitaa akiwasili Kituo Kikuu cha Polisi majira ya saa 4: 38

 Wanahabari wakichukua matukio kituoni hapo.


« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment