Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, February 25, 2016

Zuma kuelekea Burundi kwa mazungumzo ya amani

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatarajiwa kuelekea nchini Burundi siku ya Alhamisi kwa mazungumzo yanayolenga kutatua mgogoro wa kisiasa nchini humo. Bwana Zuma na viongozi wengine wa muungano wa Afrika wanaitaka serikali ya Burundi kuanzisha majadiliano na viongozi wa upinzani na kukubali kupelekwa kwa wanajeshi wa kulinda amani nchini humo. Serikali tayari imesema kuwa haitazungumza na baaadhi ya maafisa wa upinzani ambao anaaamini hawako tayari kurudisha amani nchini humo. Mgogoro huo ulianza baada ya rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu wa urais. Ghasia zilizozuka zilifichua mgawanyiko wa kikabila uliokuwepo wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2000 uliowaacha watu 300,000 wakiwa wamefariki.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment