Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, February 27, 2016

Wanajeshi 100 kupelekwa nchini Burundi

Umoja wa Afrika umetangaza kwamba utawapeleka waangalizi 100 wa haki za kibinaadamu pamoja na waangalizi wengine 100 wa kijeshi nchini Burundi. Umesema kuwa rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza ameunga mkono mpango huo. Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma aliongoza ujumbe wa viongozi watano wa Afrika katika ziara ya siku mbili wiki hii. Walikutana na bwana Nkurunziza na viongozi wawili wa upinzani ambao wamesalia nchini humo hata baada ya ghasia zilizozuka mwezi Aprili baada ya Nkurunziza kutangaza kuwa atawania muhula wa tatu. Wamesema kuwa mpatanishi wa AU rais Museveni wa Uganda ataanzisha mazungumzo hivi karibuni.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment