Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, February 27, 2016

Wana mabadiliko waeleka kushinda Iran

Ripoti kutoka Iran zinasema kuwa matokea ya awali ya uchaguzi wa wabunge, yanaonesha kuwa wagombea wanaopendelea mabadiliko, wanaelekea kushinda kwa wingi mkubwa kabisa katika mwongo mzima. Matokeo rasmi bado hayajatolewa, lakini ripoti zinasema, inaonyesha wagombea wasiopenda mabadiliko wamepoteza kura. Ikiwa wabunge wanaopenda mabadiliko, na wanaotaka kuimarisha uhusiano na mataifa ya Magharibi, wakiongezeka, watampa nguvu Rais Hassan Rouhani. Uchaguzi huo ndio wa kwanza, tangu Iran kutia saini makubaliano na mataifa makuu kuhusu mradi wake wa nuklia,mkataba uliopelekea karibu vikwazo vyote vya kiuchumi vya kimataifa dhidi ya Iran, kuondoshwa.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment