Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, February 26, 2016

Obama kumaliza uhasama Syria?

Raisi Obama amepanga kuchukua hatua ya kumaliza uhasama unaondelea nchini Syria kwa kuwapa onyo vyama vyote vinavyohusika na mgogoro ambao unaangaliwa na dunia na kama wataweza kutimiza ahadi zao. Taarifa zilizokuja usiku wa kuamkia Leo,zinasema raisi Obama amechukua hatua madhubuti ili kumaliza mgogoro huo.Amesema mgogoro ambao upo kati ya waasi pamoja na kampeni baina ya kikundi cha kigaidi cha wanamgambo wa kiislamu wa IS una maana kuwa mwisho mwa mgogoro huo hautaweza kuisha kwa haraka. Lakini raisi huyo amesisitiza pia kuwa hiyo ni fursa ya kuweza kuwa na maongezi ya amani. Wanaharakati wanasema waasi wanakumbana na mashambulizi makali ya anga kaskazini mwa jimbo la Latakia na kwa waasi waliopo karibu na Damascus.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment