Writen by
sadataley
1:25 PM
-
0
Comments

Umoja
wa Mataifa umesema Rais Joseph Kabila ameahidi kuwa jeshi lake
litaungana na la UN katika operesheni dhidi ya waasi wa FDLR.
kikosi
cha wanajeshi elfu 20 wa umoja huo watashirikiana na wale wa Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Congo katika kampeni zilizopangwa kuanza karibuni dhidi
ya waasi wa Kihutu wa Rwanda.Wanamgambo wa Kihutu, wanaojulikana kama FDLR, wamekuwa wakilitumia eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kama kambi yao ya kufanya mnashambulizi dhidi ya serikali ya nchi jirani ya Rwanda.
No comments
Post a Comment