Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, April 27, 2014

Wafuasi 11 wa Morsi wahukumiwa jela


Mahakama moja nchini Misri imewahukumu wafuasi 11 wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi kifungo cha kati ya miaka mitano hadi minane jela kwa kufanya maandamano.
Wafuasi wa aliyekuwa raia wa Misri Mohammed Morsi
Washtakiwa hao walikamatwa kufuatia msururu wa ghasia zilizozuka baada ya kundolewa madarakani kwa Mohammed Morsi mwaka uliopita.
Mnamo mwezi Machi, zaidi ya wafuasi 500 wa Mohammed Morsi walihukumiwa kifo katika mahakama hiyo hiyo.
kesi hiyo inajiri wakati ambapo kuna msako dhidi ya waislamu wenye itikadi kali wanaomuunga mkono Mohammed Morsi.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment