Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, January 31, 2014

IGAD:Waangalizi kuenda S. Kusini


Wanajeshi wa Sudan Kusini
Shirika la kikanda la IGAD la mataifa yaliyo katika upembe mwa Afrika, limeamua kuwa waangalizi wanapaswa kwenda nchini Sudan Kusini kuhakikisha kuwa mkataba wa kusitisha mapiganop unatekelezwa.
Uamuzi ulifikiwa katika mkutano wa Muungano wa Afrika unaondelea mjini Addisa Ababa Ethiopia.
Makabiliano makali yameendelea kuripotiwa nchini humo, licha ya mkataba wa amani kutiwa saini wiki jana kati ya waasi na serikali.
IGAD pia imetoa wito wa kuondolewa kwa wanajeshi wote wa kigeni nchini humo.

Hata hivyo, waziri wa mambo ya nje wa Uganda, Sam Kutesa, amesema kuwa Uganda haina mipango ya kuondoa wanajeshi wake ambao wamekuwa wakisaidia majeshi ya Sudan Kusini kupambana na waasi nchini humo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment