Writen by
sadataley
12:25 PM
-
0
Comments
UTABIRI WA TB JOSHUA JUU YA KIONGOZI AFRIKA MASHARIKI KUTEKWA WATIMIA
Nabii TB Joshua |
Kiongozi huyo amezungumzia juu ya utabiri wake huo katika ibada ya jumapili iliyopita kanisani kwake SCOAN nchini Nigeria ambapo Rais wa Sudan ya kusini alituma ujumbe wa watu wawili na barua ya shukrani kwa nabii huyo kwa utabiri wake juu ya taifa hilo ambapo akamuomba nabii huyo kuliombea taifa lake kuwepo mapatano na kuahidi kufika SCOAN mambo yatakapotulia. Tazama video chini kwa maelezo zaidi.
No comments
Post a Comment