Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, October 6, 2013

Maalim Seif afungua kongamano la siku ya walimu duniani


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akijumuika katika wimbo wa kudumisha umoja, wakati wa kongamano la siku ya walimu duniani, lililofanyika hoteli ya Bwawani

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akimkabidhi zawadi mmoja wa walimu wastaafu, baada ya kufungua kongamano la siku ya walimu duniani, lililofanyika hoteli ya Bwawani.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza katika ufunguzi  wa kongamano la siku ya walimu duniani, lililofanyika hoteli ya Bwawani
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment