Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, October 7, 2013

Ghasia Iraq 51 wafariki zaidi ya 100 wajeruhiwa

Na Martha Saranga Amini
Takribani watu 51 wameuawa na wengine zaidi ya mia moja kujeruhiwa kufuatia shambulizi lililolenga washia huko mji mkuu wa Iraq Baghdad,wizara ya mambo ya ndani imethibitisha.

Moja kati ya shambulizi la hivi karibuni mjini Baghdad nchini Iraq
Moja kati ya shambulizi la hivi karibuni mjini Baghdad nchini Iraq
REUTERS/StringerKatika mji wa Balad shambulizi la kujitoa muhanga limeua takribani watu 12 katika mgahawa wakati na huko Masul watu wenye silaha wameshambulia na kuua waandishi wa habari wawili.
Iraq imeendelea kushuhudia vita vya kidini katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni matukio ambayo yameyumbisha hali ya usalama nchini humo.
Hata hivyo hakuna kundi lililojitokeza kudai kuhusika na shambulizi hilo la jumamosi ingawa matukio mengi ya hivi karibuni yamekuwa yakitekelezwa na mashirika ya kisuni yenye uhusiano na kundi la kigaidi la Al Qaeada.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment